



Welcome, Karibu, Nyegera!
Enjoy your stay… This website is under construction

I have a great vision that one day this page will actually be finished and complete.
I have high standards for my work.






More Options ...
Categories
Tag Cloud
Blog RSS
Comments RSS
Void « Default
Life
Earth
Wind
Water
Fire
Light 
I wish you nice journey for Creating personal and recruiting website, Best of LUCK!
Nakupa hi sana kwa mtizamo wako, sikufahamu kwa sura lakini jina lako si geni kwenye hii mitandao tunayotumia kuwasiliana. Mwanzo mgumu ila kama unayo ndoto hai basi utafanikiwa pasina shida.
Kila la heri katika ujenzi wa website yako, hapana shaka siku ya ufunguzi utatutaarifu….
Wakuu,
Nashukuru sana kwa maoni yenu. I see sikujua kama mmepita huku. Nafurahi na kufarijika kwa comments zenu.
Mkuu wangu Kibunango, nakosa cha kuweka hapa kusema ukweli. Kila ninachofikiria naona hakipendezi, nafikiria tuugeuze uwanja wenu nyote niwape sub-domains mfanye mambo mnayotaka. Kama unahitaji nikupe sub-domain FREE na upate uwanja wa kujifunzia web designing niandikie nami nitakuandalia mazingira yako tu.
Ahsanteni sana wakuu
All the best. Kumbuka, kumbuka, ‘Hata Rome haikujengwa siku moja’. As long as una malengo, ukiyafanyia kazi kikamilifu hakika utafanikiwa.
Good luck.
ndugu yangu melo nitataka sana kuupata uwanja kuweka mambo yangu ktk pages zako.
Ntashukuru sana
Bro!
Nazikubali sana jithada zako katika mtandao.
Keep it high than the clod!
Asante wakuu… Tupo ukurasa mmoja!
Dah, Gano… Mbona hatukutani kaka? Access nakupa full yani, full kikwelikweli!
Ntakucheki kwa simu then tuangalie unahitaji nini hasa.
Mac you are creative and helpful as well. Nice job….hope you will put resourceful contents like job vacancies you are doing in JF.
Kazi nzuri sana,
tunaiombea imalizike.
Mkuu nina full detail info za utalii hasa art industry.
nimeshaandaa ktk mfumo mzuri labda ukiwa na chance nikuwekee ktk cd uperuzi kabla hujaziweka kapuni
Man nakuona uko sawa ila tamaa usiikate bali malengo kwanza.
Ni vyema tukawa wabunifu kwani sisi wabongo hatuna self-motivational perspectives twapenda kulalamika sana. Nakuunga mguu baba go!!!!!!!
Waitu oli eigilu muno!
I have some dreams which needs great thinkers like you Maxence!
Hopefully tutakutana kushea some ishuz!
Ef 3:20-21 ‘Atukuzwe Mungu, Yeye atendaye mambo magumu mno na ya ajabu, kuliko yale tuombayo wala tuwazayo, KUPITIA NGUVU ITENDAYO KAZI NDANI YETU’
mkuu max
vipi homework imekushinda kaka?
lete ishu mkuu
Mnh!! For a long time now nimekuwa niki-dream kusoma web design, the field is deep inside my heart!! Hata hivyo, baada ya kuiona hii ya kwako, ni kama nimekuwa shocked!!! Najiuliza, pale nitakaposoma (huku nikiona kozi zenyewe hapa ni kozi fupi fupi), kweli nami naweza kujiita web designer mbele ya watu wenye uwezo wa ku-design web kama hii ya kwako?! Ipo bado, lakini inatosha kutoa picha ya expected std!! All in all, big up sana! I hope siku moja nitaomba ushauri kwako abt it
Hongera Ndugu Maxence.Tunasubiri kwa hamu uzinduzi rasmi wa tovuti yako.Japo naafikiana nawe kuwa ungependa kuona ikiwa katika hali bora kabisa,pengine ni muhimu kuanza hatua kwa hatua huku ukiendelea na maboresho kadri muda unavyokwenda.
Nakutakia kila la heri.